RAIS SAMIA AWASILI NCHINI INDONESIA KWA ZIARA YA KITAIFA | BUTONDO DIGITAL

Tuesday, January 23, 2024

RAIS SAMIA AWASILI NCHINI INDONESIA KWA ZIARA YA KITAIFA

  Post       Tuesday, January 23, 2024

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta, Tangerang kwa ajili ya ziara ya Kitaifa nchini Indonesia tarehe 24 Januari, 2024.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta, Tangerang kwa ajili ya ziara ya Kitaifa nchini Indonesia tarehe 24 Januari, 2024.


logoblog
Previous
« Prev Post